Tunakukaribisha kuchangia tukio kubwa la uzinduzi wa Chama cha Walimu wa Kwaya (ATCT) utakaofanyika tarehe 16/11/2025 AICT KAMBARAGE SHINYANGA. Mchango wako utasaidia uzinduzi na kuimarisha kazi ya walimu wa muziki na kwaya nchini, na kuendeleza vipaji vya vijana katika huduma ya Kumtumikia Mungu.
1,211,700 / 3,000,000 TZS
💳 Changia Sasa Tazama Michango
Alexander Magenda
(Mwenyekiti ATCT)
(Muhuri Rasmi)